Posted on: February 24th, 2025
Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani ( WWF) leo Februari 24, 2025 limekabidhi vifaa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 109 kwa vikundi 12 vinavyojishughulisha na kilimo cha mwani kutoka vijiji vya...
Posted on: February 20th, 2025
Mradi wa Shule Bora Tanzania umetoa mafunzo kwa maafisa elimu kata, walimu wakuu pamoja na walimu wa hisabati wa shule za msingi zilizopo wilayani.
Akizungumza wakati wa mafunzo hayo leo Febr...
Posted on: February 18th, 2025
Kituo cha Afya cha Kirongwe kimezindua rasmi huduma ya upasuaji kwa kina mama, leo Februari 18, 2025 ambapo upasuaji uliofanyika kwa mama mjamzito umekamilika salama.
Kituo hicho kilich...