Posted on: August 17th, 2023
Utunzaji wa mazalia ya samaki una manufaa mengi endapo utapatiwa kipaumbele ili unufaishe jamii na kuleta mapato serikalini pamoja na kuinua uchumi wa wananchi.
Kwa kutambua na kuizing...
Posted on: August 15th, 2023
Mradi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya #Mafia umefikia asilimia 45 ya utekelezaji wake. Mradi huu unagharimu jumla ya Shilingi Milioni 520 ambapo kati ya fedha hizo, Milio...
Posted on: August 11th, 2023
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kupitia Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu, imeongoza mafunzo kwa watumishi wapya wilayani humo.
Mafunzo hayo yenye lengo la kuongeza ufanisi katika...