Posted on: July 26th, 2024
Vijana 30 wilayani Mafia wamepatiwa mafunzo ya uongozaji wa watalii pamoja na sanaa ya ngoma za asili yaliyolenga kuwajengea uwezo katika masuala ya utalii.
Mafunzo hayo yaliyofadhil...
Posted on: July 25th, 2024
Watumishi pamoja na wananchi wameshiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Mafia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa leo Julai 25, 2024.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia, Ndugu Oliv...
Posted on: July 24th, 2024
Serikali kupitia Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini ( RUWASA) imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji maji wilayani Mafia kwa kufika asilimia 77.
Hayo yameelezwa na Meneja wa RUW...