Posted on: September 30th, 2021
Jumla ya timu 84 za mchezo wa mpira wa miguu katika Kata zote 8 za Wilaya Mafia zilipatiwa mipira kwa ajili ya kuinua na kufufua michezo Wilayani Mafia kama ifuatavyo:-
Kata ya Kanga ilipokea mipir...
Posted on: September 29th, 2021
Naibu waziri Elimu , Sayansi na Teknolojia Mh. Omary Kipanga, Mbunge wa Mafia alizungumza na viongozi wa dini na taasisi lengo la kujuana na kuwashukuru kwa kazi kubwa waliyoifanya pamoja na kuhamasis...
Posted on: September 29th, 2021
Mkurugenzi Mtendaji (W) ya Mafia anawataarifu waliokidhi vigezo kufika kwenye usahili. Kwa maelezo zaidi Soma tangazo lililoambatanishwa.
KUITWA KWENYE USAILI.pdf...